ULIMWENGU

  • HOME
Home → Maajabu → Udaku → BINTI AVUA NGUO ZOTE NA KUTOA ZAWADI KWA UTUPU WAKE KATIKA BIRTHDAY....

BINTI AVUA NGUO ZOTE NA KUTOA ZAWADI KWA UTUPU WAKE KATIKA BIRTHDAY....

Unknown
Add Comment
Maajabu, Udaku
Wednesday, August 20, 2014

Ni aibu iliyoje! Mrembo mmoja, mkazi wa Kigogo, Dar es Salaam, aliyedaiwa kuwa ni mchumba wa mtu ambaye jina lake halikupatikana, alikatikiwa mshipa wa aibu na kuvua nguo katikati ya sherehe ya ‘birthday’ ya mtoto.

Kwa mujibu wa habari, tukio hilo lililojaa laana lilijiri ndani ya Ukumbi wa Palm Tree Kigogo, Dar, August 10, mwaka huu ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa mtoto aliyetajwa kwa jina moja la Junior aliyekuwa akitimiza miaka mitano ( 5 ). Fungua na uonnejinsi ilivyo kuwa....Chanzo hicho kilieleza kwamba, mnyange huyo ambaye alikuwa mmoja wa wageni waalikwa, alitimba ukumbini hapo akiambatana na mwanamume aliyedaiwa ni mchumba’ake.
Kilidai kwamba, mara baada ya kujitwalia moja ya meza ukumbini hapo, wawili hao walianza kugida ulabu kwa staili ya ‘tuone nani mkali wa kumeza maji’.



MLIMWENGU wetu alidadavua kwamba, haukupita muda mrefu, mwanamume aliyeambatana na mrembo alionekana akizungumza na simu ambapo alimwacha mwanadada huyo na kutoka nje.
Ilidaiwa kuwa, kitendo hicho kilimpa nafasi mrembo huyo ambaye alianza kufanya madudu mbele ya kadamnasi bila kujali idadi kubwa ya watoto waliokuwa ukumbini. 



AANZA KUPANDISHA KIGAUNI

Chanzo chetu kilidai kuwa, inaelekea jamaa aliyekuwa na mrembo huyo alipata ‘dharura’  hivyo hakurejea.
Ilisemekana kwamba, muda wa kutoa zawadi ulipowadia, mchumba huyo wa mtu alichafua hali ya hewa baada ya kuanza kupandisha kigauni kifupi alichokuwa ametinga na kuacha nusu ya mwili wake sehemu yote ya chini ikiwa wazi.




 AMALIZIA HADI ‘KUFULI LAKE ’
Chanzo kiliweka wazi kwamba, mrembo huyo alimazia kuvua nguo nyingine hadi ‘kufuli’ na kubaki mtupu kama alivyozaliwa hivyo kuwafanya watoto kushuhudia sinema ya bure. 



  ATOA ZAWADI ZAKE KWA MAKALIO AKIWA UCHI WA MNYAMA

Iliendelea kudaiwa kuwa, mrembo huyo aliharibu kila kitu pale alipochomeka noti ya buku 10 kwenye nyeti zake na kwenda kumtunza mama wa mtoto.



“Kama hiyo haitoshi, yule binti aliweka sharti kuwa hakuna kupeleka ‘hela’ kwa mama mtoto na badala yake watu wamuwekee kwenye makalio.

“Wapo waliokubali ‘then’ akaenda na kumlazimisha mama mtoto azichukue,” kilisema chanzo hicho.





Chanzo kiliendelea kuweka kweupe kwamba, mara baada ya kuona tukio hilo, baadhi ya wazazi waliokuwa na watoto wao ukumbini hapo walimaindi hivyo kuondoka kwa aibu.  

    

Share this article :
Tweet
✚

Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

ZILIZOBAMBA TOP 10 NI . . .

  • LAANA:HUKU SASA NI KUTIANA NYEGE TU NA SI KITU KINGINE
    Mtazame mrembo huyu ambaye ameamua kujiingiza katika matangazo ya nguo katika moja ya duka kubwa la nguo hapa mjini(Mwenge) Kwa muj...
  • JINSI YA KUMRIDHISHA MWANAMKE KIMAPENZI
    Mambo matano (5) anayohitaji Mwanamke kutoka kwa Mwanaume Wanaume  hatimaye   kutambua kwamba  hawapo  peke yao  kitandani   na  ...
  • MWANAFUNZI AGAWA PENZI BAADA YA KUDANGANYWA KUWA ATAPELEKWA ULAYA
                                                                              Masikini huyu denti ajuta sana baada  ya  kufanyishwa ngo...
  • PICHA 5:MSANII WA BONGO FLEVA LIVE ANASWA AKINUNUA MACHANGUDOA
    WAKATI wasanii wakitakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuenzi maadili mema kwa jamii ya Kitanzania, mambo yamekuwa kinyume, baada ya nyota...
  • BARUA NZITO KWA DIAMOND PLATNUM HII HAPA
                                                   KWAKO Nasibu Abdul ‘Diamond’. Bila shaka u-mzima wa afya na unaendelea na michakato y...
  • LAANA HII: PICHA ZA UCHI ZA MWANAFUNZI MATILDA WA MUMESCO ARUSHA ZAVUJA...
    Mwanadada huyu( Matilda Singano ) amekuwa akiwatumia wanaume picha hizo kwa ajili ya kuwatega.Embu tizama mwenyewe picha hizi za mwanadada h...
  • KELELE ZA MIGUNO YA KIMAPENZI KUTOKA CHUMBA CHA JIRANI ZINANIPAGAWISHA
    Mimi ni Kijana wa Miaka 25, nimeanza kazi hivi karibuni ikanilazimu kutoka nyumbani na kupanga maeneo  ya  kijitonyama ...Sasa hi...
  • PICHA ZA UTUPU/UCHI ZA MAUNDA ZORO ZILIZOSAMBAA MITANDAONI: NI LAANA KWA KWELI
    Niwazi picha zenyewe zinajieleza hapa chini
  • KAMERA ZETU ZIMEMNASA MAMA HUYU WA KISHUA HUKO MASAKI DAR AKIWA AMEKAA VIBAYA.JINA LAKE HALIJATAMBULIKA
      PICHA NYINGINE ZIMEFICHWA HAPA
  • FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI (TENDO LA NDOA)
                                                          1 : Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo Wanawake ambao hufika kilele angalau...

LABELS

  • Maajabu
  • Mapenzi
  • Udaku
Copyright 2014 ULIMWENGU
Template By Ridwan Hex And Game Gratis